..Kama Unataka Mazoezi ya Obese kwa Mwanaume au Mwanamke, Haya ni Mazoezi Bora ya Nyumbani ya kuzingatia?
...Shuka sasa 👇
...Shuka sasa 👇
MWISHO
Kupigana na Uzito Mkubwa sio kazi Rahisi, ila INAWEZEKANA , fanya Mazoezi kidogo kidogo na jipe Muda kwenye Hilo.
Usikate Tamaa kwa sababu hiyo sio jawabu la Matamanio Yako, Mabadiliko yanakuja taratibu, Ongezea kwa Mbio fupi au Matembezi Ukipata Muda...
Kupigana na Uzito Mkubwa sio kazi Rahisi, ila INAWEZEKANA , fanya Mazoezi kidogo kidogo na jipe Muda kwenye Hilo.
Usikate Tamaa kwa sababu hiyo sio jawabu la Matamanio Yako, Mabadiliko yanakuja taratibu, Ongezea kwa Mbio fupi au Matembezi Ukipata Muda...
Program Sahihi ya Mazoezi lazima ifatwe, Uvumilivu na Punguza Matarajio, Upe nafasi ya mwili wako kujitengeneza,
Andika ratiba yako
Matamanio unayoyataka itakuchukua Miezi kuyapata lakini utajivunia Miaka.. Fitness ni Safari ya Maisha yetu ya kila siku
Nifollow @ommyfitness
Andika ratiba yako
Matamanio unayoyataka itakuchukua Miezi kuyapata lakini utajivunia Miaka.. Fitness ni Safari ya Maisha yetu ya kila siku
Nifollow @ommyfitness
جاري تحميل الاقتراحات...