Mfalme 👑🇹🇿
Mfalme 👑🇹🇿

@MfalmewaX

10 تغريدة 8 قراءة May 23, 2024
Video za ngono zimefanya wanaume kuwa LOSERS.
Mitandao ya kijamii imeharibu wanawake,
Mfalme, kama unataka kubadilisha maisha yako, soma hii.. 👇
1. Kuzana kuwa jacked
Fanya kazi ya kuchonga mwili wako wanawake wavutiwe na wewe,
Mwili fit utakuokoa na;
-Testosterone ndogo
-Kutojiamini
-Depression na wasiwasi
Huhitaji gym kuchonga mwili wako.
Fanya haya kwa miezi 6,
-Push-ups 10 x10 kila siku
-Fanya Deadlift
-Fanya mazoezi ya tumbo
-Fanya Squats 10x10
Kwa msaada zaidi Pitia pinned post yangu.
Kwa mwanaume hutojutia kuwa na mwili wa mazoezi
2. Tumia 80% ya muda wako kutengeneza pesa/thamani
Adopt mfumo utakaokupa hela,
Fanya haya;
-Tafuta tatizo kwenye jamii
-Tafuta suluhisho la tatizo
- Uza suluhisho
Mfano; Nimegundua wengi wameathirika na punyeto, nimeunda tiba mbadala ya kutibu nauza & matokeo ni uhakika
Mfano; 2. Nimegundua wengi hawako timamu kimwili, wanene na wagonjwa kisha nikatengeneza program ya mazoezi na chakula.
Napost kuhusu muziki na mpira kidogo ila kwa wingi ni masculinity, mahusiano na fursa ya UKOMBOZI wa kifedha.
Hakuna kikomo cha kupata hela kama ukiamua.
3. Kula chakula hai/ halisi
.
Mwili wako unakuwa unachokula.
Kula sana,
-Wanga rahisi
-Protini ya kutosha
-Vitamin
-Mafuta
Kila asubuhi usipofunga,
-Kula mayai ya kuchemsha 2
-Kunywa chai ya mdalasini, tangawizi na manjano
-Kula matunda yasiyo kuwa na sukari sana l
4.Kaa mbali na ushauri wa jamii
Kila mtu anataka uwe dhaifu na kibonde wake
Watakushauri,
-Maliza kwanza shule
-Tafuta kazi ya uhakika
-Tafuta demu
Fanya haya;
-Tafuta pesa
-Tengeneza connection
-Tumia muda mwingi peke yako
-Anza biashara
-Wekeza kwa maendeleo binafsi
5. Linda misingi yako ya masculine
Usasa umeua roho ya upambaniaji kwa wanaume,
Kwa sababu tunakumbwa na laana nyingi bila kujua,
Epuka laana ya asili kwa kuacha haya;
-Kuangalia video za ngono
-Kuvuta bangi na sigara
-Kufatilia wanawake
-Kupiga punyeto
Hizi ni sababu kwa 80% kwanini wanaume wamekuwa wanene, wapumbavu na masikini.
Badilika, utakuwa prize.
Wanaume wa leo wanasumbuliwa na mambo ambayo hakuna mtu anataka kuyaongelea,
-Kutojiamini > punyeto
-Kutojithamini >kuangalia video za ngono
-Unene§>chakula kibovu
-Nguvu za kiume > Kutofanya mazoezi
Kama unataka kubadilisha maisha yako ni text DM.
Tufollow @ommyfitness
Repost uzi uwafikie unaowapenda.
Karibu channel ya Telegram "WAFALME"
END.

جاري تحميل الاقتراحات...