Mfalme 👑🇹🇿
Mfalme 👑🇹🇿

@MfalmewaX

11 تغريدة 3 قراءة Feb 18, 2023
MAZOEZI BORA KWA MTU MWENYE UZITO MKUBWA ANAYEANZA MAZOEZI (OBESE)
PART 1
Best Home Exercises for Obese Beginners
UZI 🧵
Unajuaje kama Una uzito Mdogo, wa kati, Mkubwa na Uliopitiliza...Kwa kufanya Hesabu ya Body Mass Index (BMI),
Kuwa na Uzito Mdogo ni Tatizo pia...
Kuanza safari ya Kupunguza Uzito au kufanya Mazoezi ni Ngumu kwa kila anayeanza Mazoezi ( Beginner)
🎯Mwaka Mpya Unahitaji majibu Mapya, nayo kuwa FIT tu.
Hatuna Muda wa kupoteza na kumbuka kila unavyozidi kusubiri ndivyo inazidi kuwa ngumu Kupigana na Obese
💥Kukusaidia ushawishike Zaidi nimekuandalia Tips Bora Zaidi za Mazoezi kwa mtu anayeanza (Beginner)
Je Unahitaji Kwenda Gym Ili uwe FIT?
HAPANA (BIG NO)
Kwenda Gym imekuwa haifanyi kazi kwa watu wengi, Hauhitaji kuzungukwa na vyuma Vingi ama vifaa vya kisasa ila kuwa FIT, ila Nini kipo moyoni kwako! Unataka kuwa wapi ukifika mwezi wa 6? kilichopo Ndani yako hicho ndio Muhimu
Kuna Mazoezi Mengi ya nyumbani unaweza kufanya na kuwa FIT.
Kwa uhakika wa Mazoezi chukua hivi vitu vinne 4 vya kuzingatia wakati wa Mazoezi
1. Unafanya Mazoezi kwa Muda gani
2. Ugumu wa Zoezi
3. Muda wa kurecover baada ya Mazoezi
4. Mara ngapi Unafanya Mazoezi
👉Jinsi ya Kuanza Mazoezi ukiwa Mwenye Uzito Mkubwa Sana
Watu wenye Uzito Mkubwa huwa ni wa kujilaumu wakati wanajitafuta, Hivyo anza na hatua Ndogo mpaka utakapofikia Malengo
(Something is better than nothing).
Amini Sana hiyi hatua unavyotaka kuichukua
Mtu mwenye Uzito Mkubwa (Obese) Anatakiwa afanye Mazoezi dakika 250/ kwa wiki ili kutimiza lengo la kupungua Uzito.
Hiyo ni Kwa Mazoezi Mepesi ila kwa Mazoezi ya kawaida au magumu kidogo Utahitaji Dakika 150/ kwa wiki
🎯Wakati unapanga ratiba ya Mazoezi zingatia mambo haya;
1️⃣ Unatumia Dakika Ngapi kwa siku kwenye Mazoezi, Anza na Dk 10 kwa na ongeza Hadi Dakika 50 kwa wiki zijazo, Fanya Mazoezi mara 5/wiki
Pia unaweza kufanya kwa Dk 37 kwa siku 7 hii itafanya ufike lengo la Dk 250/ Wiki
2️⃣ Mazoezi yasiwe na Magumu ,
Hivyo Utahitaji Mtu wa maelekezo, Hii ni Kwa ajili ya Kupunguza Hatari ya Maumivu kwenye maungio ya Mwili, mwili huuma kwa sababu ya kutozea ulichofanya Jana lakini wakati Mwingine Huuma kwa sababu ya kufanya Mazoezi Makali kupitiliza...
NB; Kufanya Mazoezi Masaa Matatu kwa siku Moja haitokusaidia na sio Njia Sahihi ya kutoa Uzito ila kufanya Mazoezi kwa dk 30 kila siku hii itakusaidia Sanaa
3. Mazoezi ya Cardio, pumzi kama Jumping jacks, high stepping, air skipping, Burpees n.k
Nifollow @ommyfitness kwa Tips za Mazoezi Zaidi
Turn on notifications kwa PART 2
Niulize Swali lolote kuhusu Mazoezi
Natengeneza program za Mazoezi ya Nyumbani kwa Gharama nafuu Sana

جاري تحميل الاقتراحات...