..Mazoezi haya Utafanya Ndani (Indoor workouts) unahitaji nafasi ndogo
Unahitaji Dakika 5 Bora kuwa fit kila siku..
Tuangalie Zoezi Moja Hadi la Tano..👇
Unahitaji Dakika 5 Bora kuwa fit kila siku..
Tuangalie Zoezi Moja Hadi la Tano..👇
4️⃣ Jumping jacks ( 60 second)
Nilishawahi kulielezea Zoezi hili na Faida zake na @swadakta_ alikazia pia umuhimu wake hasa kwa wanaume
Linahusisha sehemu zote za Mwili, pia ku-restore Nguvu za kiume
Hauhitaji kwenda Gym Wala uwanjani Kujaribu Hii
Nilishawahi kulielezea Zoezi hili na Faida zake na @swadakta_ alikazia pia umuhimu wake hasa kwa wanaume
Linahusisha sehemu zote za Mwili, pia ku-restore Nguvu za kiume
Hauhitaji kwenda Gym Wala uwanjani Kujaribu Hii
..Sio Lazima uwe na Uwezo kumaliza Ndani ya Dakika Moja, Hapana.
Unaweza kufanya utakapochoka , unapumzika na kuendelea, Lengo ni Dk 1 kuisha
Yakiingia kwenye mwili utazoea na kuhisi unahitaji changamoto Mpya, Wakat huo umeshaona faida ya mazoezi itakupa moyo wa kuendelea...
Unaweza kufanya utakapochoka , unapumzika na kuendelea, Lengo ni Dk 1 kuisha
Yakiingia kwenye mwili utazoea na kuhisi unahitaji changamoto Mpya, Wakat huo umeshaona faida ya mazoezi itakupa moyo wa kuendelea...
NASHAURI UWE NA STOP WATCH, SIMU NI DISTRACTION
Kindly Retweet, Like Comment
Nifollow @ommyfitness kwa Tips zingine zaidi
Ukiwa na Swali Niulize DM au Uzi Gani mwingine nilete
#fitness #healthylifestyle #exercise
Kindly Retweet, Like Comment
Nifollow @ommyfitness kwa Tips zingine zaidi
Ukiwa na Swali Niulize DM au Uzi Gani mwingine nilete
#fitness #healthylifestyle #exercise
جاري تحميل الاقتراحات...