2. Stock Compensations (Malipo ya Hisa)
Badala ya malipo makubwa, Wakurugenzi wakuu na waanzilishi wenza huchukua hisa za kampuni kama Faida (equity of the company as compensation)
Badala ya malipo makubwa, Wakurugenzi wakuu na waanzilishi wenza huchukua hisa za kampuni kama Faida (equity of the company as compensation)
kwa nini?
1) Kodi ya faida inayopatikana kutokana na mauzo ya hisa ni ya chini sana kuliko kodi ya mapato.
2) Faida ya mtaji hutozwa ushuru tu pindi unapouza hisa (Capital gains are taxed only when you sell the equity)
Ndiyo maana hawataki mshahara mkubwa wanataka Hisa
1) Kodi ya faida inayopatikana kutokana na mauzo ya hisa ni ya chini sana kuliko kodi ya mapato.
2) Faida ya mtaji hutozwa ushuru tu pindi unapouza hisa (Capital gains are taxed only when you sell the equity)
Ndiyo maana hawataki mshahara mkubwa wanataka Hisa
3. Kujiamini kwa Mwekezaji
Hawa matajiri wanapopokea fidia ya hisa, utajiri wao unahusishwa moja kwa moja na utendaji wa kampuni, kwahiyo kampuni itaonekana inafanya vizuri zaidi.
(As these CEOs receive stock compensation,their wealth gets tied to the performance of the company
Hawa matajiri wanapopokea fidia ya hisa, utajiri wao unahusishwa moja kwa moja na utendaji wa kampuni, kwahiyo kampuni itaonekana inafanya vizuri zaidi.
(As these CEOs receive stock compensation,their wealth gets tied to the performance of the company
Hii inaleta hali ya kujiamini kwa wawekezaji.
Kadiri kampuni inavyofanya vizuri ndivyo hisa zitakavyopanda na ndivyo Mkurugenzi (CEO au Co-Founder) atakavyokuwa tajiri zaidi!
(The better the company performs, the higher the shares will rise and the wealthier the CEO will get!)
Kadiri kampuni inavyofanya vizuri ndivyo hisa zitakavyopanda na ndivyo Mkurugenzi (CEO au Co-Founder) atakavyokuwa tajiri zaidi!
(The better the company performs, the higher the shares will rise and the wealthier the CEO will get!)
4. Maisha ya kifahari
Haya yote ni sawa, lakini hawa jamaa, wanaishi vipi maisha yao ya kifahari kwa mshahara wa $1?
Wakurugenzi wakuu wanaoendesha makampuni makubwa hupokea marupurupu mengi kuanzia likizo, huduma ya usafiri, makazi mazuri, elimu ya watoto na mengi zaidi!
Haya yote ni sawa, lakini hawa jamaa, wanaishi vipi maisha yao ya kifahari kwa mshahara wa $1?
Wakurugenzi wakuu wanaoendesha makampuni makubwa hupokea marupurupu mengi kuanzia likizo, huduma ya usafiri, makazi mazuri, elimu ya watoto na mengi zaidi!
5. Mkopo
Sasa Wakurugenzi Wakuu hawa huchukua mikopo kwa kiwango cha chini kabisa cha riba kwa kuweka fidia yao ya hisa kama dhamana.
Tumeona huko nyuma kwamba hawachukui mshahara bali huchukua hisa kama Faida ambayo itawalinda kwenye mikopo kuliko Salary
Sasa Wakurugenzi Wakuu hawa huchukua mikopo kwa kiwango cha chini kabisa cha riba kwa kuweka fidia yao ya hisa kama dhamana.
Tumeona huko nyuma kwamba hawachukui mshahara bali huchukua hisa kama Faida ambayo itawalinda kwenye mikopo kuliko Salary
6. Kurejesha(kulipa) Mkopo
Mikopo iliyochukuliwa inaweza kulipwa kwa urahisi kwa kutumia gawio lililopokelewa, kutoka kwa hisa za kampuni wanazoshikilia, yaani unachukua mkopo kwa riba nafuu ukilindwa na hisa zako, hisa zako hizo hizo zikizalisha ndiyo zinalipa mkopo.
END.
Mikopo iliyochukuliwa inaweza kulipwa kwa urahisi kwa kutumia gawio lililopokelewa, kutoka kwa hisa za kampuni wanazoshikilia, yaani unachukua mkopo kwa riba nafuu ukilindwa na hisa zako, hisa zako hizo hizo zikizalisha ndiyo zinalipa mkopo.
END.
جاري تحميل الاقتراحات...