K A G A
For some unknown reasons, I'm only interested in profitable Apps and Fifa. Any physical meetings should be done over Fifa. Meet the LOVE of my life @BandoApps
عرض في 𝕏سلاسل التغريدات
Siku unaapishwa kuwa RAIS. Kati ya bahati UTAKAORITHI ni kwamba, theoretically, utakuwa unamiliki HISA kwenye kila kampuni iliyopo kwenye ardhi ya Tanzania (Hisa kwa njia ya Kodi)...
Ukienda MLIMANI CITY, mlango wa kwanza. Kushoto utakutana na MarryBrown kulia KFC. You might think waliokuwa wanai design walifanya hivyo for convenience au kurahisisha floor pla...
WIKI iliyopita ulikula LOSS, ila ONE MAN ARMY hujakata tamaa. Unaingia zako INSTA, MZUNGU anakuuliza utampa TSH ngapi aupeleke tangazo lako MJINI? Mzungu anakusanua, ukimfurahish...
Usipokuwa MTULIVU, watu watakuvua UCHI kisa kuwa MROPOKAJI. Kama unafanyaga NETWORKING Kuna mbinu watu hutumia uropoke SIRI zako zote za kwenye biashara yako bila hata we kushtuk...
Kuna kitu ulikisoma na ukaona kuna GAP ambayo ukitumia uGENIUS wako unaweza kutusua mapema sana. Bila kupoteza muda Unaanza safari yako ya kwenda BRELA kusajili kampuni yako rasm...
I don't really like talking about this but YESTERDAY I met this really GORGEOUS GIRL! She had such beautiful eyes, flawless skin and her smile was beautiful. I can't even explain...
Kuna CHEAT CODE unaweza kuitumia kwenye BEI ili uweze KUCHEKECHA UBONGO wa your next paying customer. The key is AJIONE unampa VALUE, kumbe wapi! What I must also mention, Usi F...
What I am about to tell YOU, itabadilisha maisha yako. Nakupa my very own PROVEN and TESTED MBINU kuitekenya Algorithm ya Instagram kabla hujaanza kulipia Sponsored Ads. Sitaki u...
Kuna ishu ulikuwa unaiskilizia tangu Mwaka JUZI, kimasihara IMETIKI. Tsh 10M huu hapa. Hutaki kulaza damu. Unaona biashara utakaoweza kukifanya ili pesa zizunguke ni kutoa MKOPO....
Kama uko DESPERATE, una ZERO Experience, SMALL Capital na huna cha kupoteza, this is for YOU. Imagine picha hii niliitengeneza kwa kuandika mstari MOJA TU kwenye AI. SIJATUMIA PH...
Unaweza KUAMINI nili EDIT picha hizi ndani ya dakika 1 kwa kutumia AI tu? Tena FREE! Kama unauza perfume, nguo, INFACT biashara yoyote yenye bidhaa, hauna haja kumtafuta mpiga pic...
The hard truth is, jitahidi kutokuwa kero kwa watu. Ikiwezekana, 1. Nunua vitu vyako mwenyewe 2. Mind your own business 3. Omba msaada ONLY when necessary Ukiona bado uko kwenye...