Mudryk Jr
Mudryk Jr

@mudryk_jr

9 ุชุบุฑูŠุฏุฉ 1 ู‚ุฑุงุกุฉ Sep 20, 2024
Twitter
๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ž๐—˜...๐Ÿ™
๐—™๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ž๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—จ๐—ธ๐—ฒ ๐—ช๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ธ๐—ฒ ๐— ๐˜‚๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—ก๐—ฎ ๐—›๐—ถ๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—ญ๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ.
๐™Š๐™ฅ๐™š๐™ฃ ๐™Ž๐™๐™ค๐™ง๐™ฉ ๐™๐™๐™ง๐™š๐™–๐™™ ๐Ÿงต
Uke wa mwanamke una kushoto na kulia, kushoto kuna kifuniko na kulia kuna kifuniko.
Ndani ya kifuniko kuna kifuniko kingine upande wa kulia na upande wa kushot.
Ndani tena zaidi ya uke kuna vifuniko laini kila pande vipo 3 hadi 4 kushoto na kulia.
Endelea๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
vifuniko hivi huwa kama kitabu vilivyopangana unaweza kuona kuna kitabu cha kulia na kushoto
Vitabu hivi vinatofautiana kuja walio na vitabu vya vifunika vimechanua nje nje hawa ukiona kwa macho vimetanuka kama nyama nyama.
Kuna walio na vitabu vya vifuniko ila vimejificha vipo ndani kwa ndani.
Kabla ya kuvifungua vitabu hivi huwa vinazibwa na maji maji ya udogoni ambayo hutegeneza sugu na kuitwa BIKIRA
Majimaji haya sugu, hushika vitabu hivi na kubakisha sehemu ndogo tu ya kukojolea na kushikanisha vitabh vya kifuniko namba 2,3 na 4 pamoja.
Siku ikizibuliwa hii layer ya BIKIRA ndio siku ya vitabu vya ndani huanza kuchanua zaidi kuja nje.
Mwanamke anapoingiliwa na ume ni sawa na kuchomwa kijiti ukeni hawapati raha ndio sababu ni rahisi mwanaume mwenye kibamia akapendwa kuliko mwenye umme mrefu.
Kinacho msisimua mwanaume sio kuingiziwa ukeni bali ni katikati mwa kitundu jirani na pakukojolea kinachoitwa kinundu ndio hupatwa na msisimko zaidi.
Ukeni ndani ni mahali kuna utando wa kizazi hapo ukeni ndani huwa panawasha hivyo njia rahisi kupakuna ni kwa kuingiza kitu laini kama ume kuchochea nafuu ya muwasho wa ukeni ambao wengine huita nyege (miwasho) kupungua pindi unasuguliwa wengine huenda mbali kutumia tango n.k
Ndani ya uke ume ukiingia unapokelewa na mlango ambao una ring zilizoduala, ukivuka hizo lingi za duara zilizopangana sawa na nchi 6 hadi 6 unaingia mahali kuna utupu na uwazi hapa kuna hewa mpya ya Oxygen ambayo ni ya kipekee.
Hapa ndani kwa uke, huwa ni utupu na maji maji huelea ndani yake ikiwa manii yatapenyesha kuja hapa kwenye utupu, basi baadhi ya manii hufia njani sababu eneo(zone) huwa ni kubwa sana pona pona ya manii hapa ni kama yataweza kufanikiwa kukuta lipo yai na kabla ya kulifikia yai kinga za mwili zinatunza uke hushika kila aina ya siraha ili kuhakikisha manii hayakai hapa kwa mdaa mrefu ni mwendo wa kuyaua na siraha nzito nzito.
Ikitokea manii yakafika hadi kwenye yai ni sharti iwe seli moja tu maana zingine hufia njiani kama zitabahatika kufika seli 2 au 3 au zaidi zitalazimika kubasua yai kila seli ichukue nusu na mwingine nusu
Ikiwa zile seli hazitakubaliana kugawana pasu kwa pasu basi italazimika mimba itungwe sehemu moja ila wakitoka hapo ni watafanana watoto ila watakuwa wameungana na kushare kila kitu nusu kwa nusu.
Uke una tabia ya kukarili kila aina ya ume zinazoingia kwake na kutoka hivyo Uke ikiwa utatokea kuipenda ume wa mtu, hivyo mwanamke akimwona tu uke huanza kutokwa na udende na kumchochea mwanamke kufubaza nguvu.
Kunuka kwa uke, kutokana na harafu ya samaki na ndani ya uke 24hrs ni maji maji huelea hivyo maji ya ukeni na joto la ndani huzisha harufu ya mfano wa samaki pia.
Mwanamke kutoka na vitu vyeupe ukeni ni dalili ya PID au fungus.
Cc @kilonzo_tz
Usisahau Kunifollow na ku,turn on Notification ๐Ÿ””
>Likeโค๏ธ
>Repost๐Ÿ”„
>Comment!

ุฌุงุฑูŠ ุชุญู…ูŠู„ ุงู„ุงู‚ุชุฑุงุญุงุช...