Inatokea mara kibao unakutana na Pisi umeielewa na hujui pakuanzia,
Sasa sikia Leo ni Mwisho.
Anza hivi,
"Huwa sifanyi hivi, Ukweli- hapa nilipo naogopa..ila nafikiria wewe ni mtu mzuri hivyo nilitaka nikusalimie"
Mambo, uko poa?
(Hapa tayari hofu imeondoka kwako & kwake)
Sasa sikia Leo ni Mwisho.
Anza hivi,
"Huwa sifanyi hivi, Ukweli- hapa nilipo naogopa..ila nafikiria wewe ni mtu mzuri hivyo nilitaka nikusalimie"
Mambo, uko poa?
(Hapa tayari hofu imeondoka kwako & kwake)
Atakujibu "Poa" na kukaa kimya, usiogope
Muulize maswali kadhaa.
{Uliza maswali mepesi usianze unasoma wapi kama unamlipia Ada}
"Sema naitwa Mfalme, unaitwa nani?"
"Mwenyeji maeneo haya?"
Kila anachokujibu, Kubali kikupe muendelezo wa maswali Hata kama akijibu kifupi
Muulize maswali kadhaa.
{Uliza maswali mepesi usianze unasoma wapi kama unamlipia Ada}
"Sema naitwa Mfalme, unaitwa nani?"
"Mwenyeji maeneo haya?"
Kila anachokujibu, Kubali kikupe muendelezo wa maswali Hata kama akijibu kifupi
Muombe namba ukiona unaishiwa swaga, hata hivyo usikae nae sana ataanza kukosa amani
Sema...Nimefurahi kukutana na wewe, Tunaweza kuongea wakati Mwingine?
{Hapo Umeshaweka simu namba 0... unampa amalizie yeye} lazima atasita Tabasamu asikuone gaidi kisha sisitiza kwa macho
Sema...Nimefurahi kukutana na wewe, Tunaweza kuongea wakati Mwingine?
{Hapo Umeshaweka simu namba 0... unampa amalizie yeye} lazima atasita Tabasamu asikuone gaidi kisha sisitiza kwa macho
Fanya hii leo
NB; Ongea na wanawake Tofauti kila siku, japo mmoja kwa siku, chukua namba ila usiwatafute
Itakuongezea Kujiamini na kufanya mambo Tofauti
Kuongea na Mwanamke ni Jambo linaloogopesha kushinda yote, Baada ya hapo hutoogopa chochote
Usiweke pesa Mbele.
NB; Ongea na wanawake Tofauti kila siku, japo mmoja kwa siku, chukua namba ila usiwatafute
Itakuongezea Kujiamini na kufanya mambo Tofauti
Kuongea na Mwanamke ni Jambo linaloogopesha kushinda yote, Baada ya hapo hutoogopa chochote
Usiweke pesa Mbele.
جاري تحميل الاقتراحات...