SUMA JKT tujifunze toka SAMSUNG kuikomboa #Tanzania kiuchumi. (Thread)
Tunaposherehekea miaka 60 ya JKT tunajivunia umahili na uadilifu unaoendelea kuwepo katika Jeshi letu la Kujenga Taifa pamoja na ubunifu wao katika SUMA JKT.
Tunaposherehekea miaka 60 ya JKT tunajivunia umahili na uadilifu unaoendelea kuwepo katika Jeshi letu la Kujenga Taifa pamoja na ubunifu wao katika SUMA JKT.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafakari jinsi gani Tanzania inaweza kupata taasisi kama SAMSUNG kampuni moja iliyoweza kulikomboa lililokuwa Taifa masikini la Korea Kusini.
SAMSUNG na SUMA JKT wanafanana sana. Wote ni makampuni binafsi yenye mkono wa Taasisi za Kiserikali.
SAMSUNG na SUMA JKT wanafanana sana. Wote ni makampuni binafsi yenye mkono wa Taasisi za Kiserikali.
SAMSUNG ni alama ya Ushindi kiuchumi kwa watu wa Korea Kusini. Wanaipenda na kuithamini. SUMA JKT tunaipenda na kuikubali watanzania lakini ni wakati sasa iende hatua moja mbele.
1. SUMA JKT ibaki kusimamiwa na JKT
2. (Branding) Tuondoe neno JKT ibaki SUMA
3. Iweke % fulani za umiliki kwa umma hata 10% wananchi wananunue Shares DSE jina liwe SUMA PLC
4. SUMA LOGO iwe kibiashara na sio Kijeshi.
2. (Branding) Tuondoe neno JKT ibaki SUMA
3. Iweke % fulani za umiliki kwa umma hata 10% wananchi wananunue Shares DSE jina liwe SUMA PLC
4. SUMA LOGO iwe kibiashara na sio Kijeshi.
Tuweke taasisi kama SIDO, VETA na Shule za Ufundi kama sehemu ya SUMA PLC.
Simu ya Kwanza toka Tanzania, Gari la Kisasa toka Tanzania, Mapinduzi ya Kiubunifu na Exports zinatakiwa zitoke SUMA PLC. Tutengeneze Toothpick zetu wenyewe (inawezekana)
Simu ya Kwanza toka Tanzania, Gari la Kisasa toka Tanzania, Mapinduzi ya Kiubunifu na Exports zinatakiwa zitoke SUMA PLC. Tutengeneze Toothpick zetu wenyewe (inawezekana)
Bado Samsung ina Shirika la Bima, Hospitali na vingine vingi. Wasingeweza fanya yote haya kama wasingekuwa na mkono wa serikali Yao. SUMA PLC inawezekana. Tunade-militarize Brand pekee umiliki unaendelea kuwa wa JKT 80% tutunze nidhamu na uadilifu. @SuluhuSamia @tonytogolani
جاري تحميل الاقتراحات...