𝗠𝘂𝗱𝗮 𝗔𝘂𝘁𝗼 𝗣𝗿o͙ 🚘🕺🏽
𝗠𝘂𝗱𝗮 𝗔𝘂𝘁𝗼 𝗣𝗿o͙ 🚘🕺🏽

@MudaAutoPro

20 تغريدة 132 قراءة May 23, 2023
HII NI KWA WANUNUZI WOTE WA MAGARI WATARAJIWA. Kununua gari sio rahisi. Watu wanasave kwa muda mrefu sana na wengine wanachukua mikopo ili kupata magari yao. Hata hivyo, sekta hii ina vikwazo vingi ambavyo mtu pekee anaeweza kumuokoa mteja ni huruma ya muuzaji wa gari.
a Thread
Hii ni kote kwenye Kuagiza, Showroom na huruma zaidi inahitajika sana kwenye kununua local used cars (gari zilizotumika hapa Tz) usipokua makini na ukakutana na Dealer ambae hana huruma na hela yako utapigwa za chembe hata gari ukawa hauna ham nayo kabisaa.
Sisi kama @Garishop_Tz Tunafahamu kuwa kununua gari ni uwekezaji mkubwa. Kwa hiyo, tunajitahidi kuweka mteja mbele kwa kutoa huduma nzuri na faida nyingi
Unapofanya kazi na @Garishop_tz, unafaidika na uzoefu wetu wa kitaalamu, uaminifu wetu, na huduma ya haraka na ya kuaminika.
.. Tuko hapa kukusaidia kupata gari linalokidhi mahitaji yako kwa bei nzuri.
Kwa mnunuzi wa gari kumekua na vitu vingi sana muhimu vya kuzingatia kabla haujafanya uamuzi wa kumlipa mwenye gari
bahati nzuri vingi nilishavisema hapo kwenye pinned tweet kama kuuziwa gari ya ZNZ
lakini leo hatoziongelea sana gari zilizotumika hapa Tz.
lakini
Unapotaka kununua gari yoyte ile hata zilizotumika hapa usiache haraka na tamaa zikuongeze maana utavyo enda ndio utakavyopokelewa na dealer ukiwa wa moto utapokelewa na moto ukiwa mtulivu utapokelewa kwa utulivu.
.. take your time fanya kwanza uchunguzi kujua gari gani itakufaa, kua na msimamo wako wa aina ya gari unayoitaka lasivyo utazunguzwa Dar nzima mwisho wa siku ukapata Mbuche au Jecha😁.
Tuendelee 👇🏾
Hivi vitu ambavyo watanzania wengi wanaviskip (wanaviruka) wanaponunua gari👇🏾
mnunuzi wa gari huu mchakato unatakiwa uuchukulie seriously. DONT IGNORE documents. kwa kawaida dealer anatakiwa kua na documents zifuatazo ambazo atazikabidhi kwako.
Ambazo @garishop_tz hizi documents kumpa mteja na kumueleza maana na umuhimu wake ni wajibu wetu 🤝
1. Inspection Sheet: hii ni document ambayo inaonesha kua gari imekaguliwa japan na itaonyesha mileage
ziliokua wakati inakaguliwa na mwaka ulio sajiliwa ilo gari etc.
kama unanunua gari used ya hapa Tz na muuzaji amekwambia yeye ndio ameagiza kutoka japan muombe hii doc 😁
na kama dealer atakataa kukupa iyo documents kindly note that ni 🚩mileage/odometer ya gari itakua imebadilishwa.
2. Bill of Lading: hii ni hati ya ushahidi wa kuwa mteja amemiliki gari na inathibitisha kwamba gari imepakiwa kwenye meli. Pia ina taarifa muhimu kama vile jina..
.. la meli, namba ya meli, bandari ilipopakiwa na itapofikia, na maelezo mengine ya gari.
Mteja anahitaji hati hii kuthibitisha kuwa gari yake imepokelewa kwa usalama na kwa mujibu wa makubaliano ya usafirishaji.
3. Invoice: Ni document inaonyesha gharama za ununuzi wa gari na malipo yaliyofanywa.
Inatoa maelezo ya bei ya gari pamoja na ada zingine kama usafirishaji, bima, na gharama nyingine zinazohusiana na usafirishaji.
Mteja unahitaji hati hii kwa ajili ya kumbukumbu zako za..
.. kifedha, mahitaji ya forodha, na kuhakikisha kwamba amelipa kiasi sahihi kwa gari alilonunua.
Bro kama umenunua gari imetumika hapa Tz na mmiliki kakwambia “hii gari nimeagiza japan” na hana hata document moja wapo hiyo nayo ni 🚩
ila wengi hua wanapewa cheti na maneno tu.
Export Certificate:Hii inathibitisha kuwa gari limeidhinishwa na mamlaka husika kwa ajili ya usafirishaji nje ya nchi.
Mteja unahitaji hati hii ili kudhibitisha kuwa gari lake lina sifa zinazofaa kwa usafirishaji na kuwa na vibali sahihi.
Usipopewa hii nayo ni 🚩
Auction sheet:Au hati ya mnada ni muhimu sana kuuliza hii hati showroom na hata kwenye kuagiza gari.
Ina umuhimu mkubwa kwa sababu inatoa taarifa muhimu kuhusu hali ya gari na historia yake kama kilometer za gari, injini ya gari, kama ilifanyiwa repair na kubwa kabisa..
inaonesha grading ya gari/ Alama, ukiona “S" ni (Excellent),"4" (Good), na "3.5" (Average), na kadhalika.
⚠️: Zingatia
Auction sheet sio kila Dealer wa japan anazitoa kuna wanazozitoa na ambao hawatoi kutoka kana na sheria zao huko.
Na hapa ndio huruma ya dealer wako ..
inahitajika zaidi. kuna ambao ni wakwei na wengine wanatake iyo advantage kukwambia hawajapewa japan kumbe wamepewa ila gari haina viwango wanakuficha.
Ili usije ukanunua chuma chakavu, @Garishop_Tz hua hatumpi mteja gari ambayo hata sisi hatuwezi kununua kwa uzoefu wetu kupitia
Madealer wetu wa japan tumeunda utaratibu mzuri utakao mainisha alama za ubora wa gari na hali yake kwa ujumla kama hiyo gari haitokua na auction sheet.
Ambao wewe mteja utashilikishwa ili kutoa maamuzi ya mwisho 🤝
Kuna njia nyingi ambazo tunatumia kujua grading/ Alama za gari.
Unaweza ukatbelea wetu wa Instagram ukaone ubora wa kazi zetu tunatumia jina GARISHOP_TZ
Hizi documents zote apo ni muhimu uwe na taarifa zake, kama hamna huambiwe ni kwanini hazipo wakuu ni muhimu.
Na kwa hapa TZ ni muhimu kumuomba anaekuuzia gari akupe kama hana ata moja ni big 🚩 kuna uwezekano gari ikawa imepitia kwnye mikono mingi sana au Jecha
Wateja wengi wakiomba hizi documents hasa kwa local used cars unaweza ukaonekana msumbufu kwa muuzaji asiejali hela yako 🤝
Kwa kumalizia kama umepitwa na madini magari, reviews, na ukaguzi wa gari angalia kwenye tweet yangu ambayo iko pinned.
Hakikisha umeretweet iwafikie wengine na kuniffolow ili usipitwe na Threads zijazo 🚗🕺🏽 📞& Wosap : 0755838047
Cc: @Garishop_Tz

جاري تحميل الاقتراحات...