Kuna wanaume ambao huhisi kama wana fuko la minyoo upande wa kando wa korodani zao, na pia hupata maumivu. Hii inaitwa varicocele.
Varicocele ni uvimbe wa mishipa ya damu kwenye korodani ambayo hufanya damu ishindwe kusafiri vizuri kwenye mishipa hiyo.
Varicocele ni uvimbe wa mishipa ya damu kwenye korodani ambayo hufanya damu ishindwe kusafiri vizuri kwenye mishipa hiyo.
Ingawa varicoceles wanaweza kuwa hawana dalili yoyote, lakini ni chanzo cha cha utasa kwa wanaume. Hii ni kwa sababu seli za manii kwa wanaume ni dhaifu sana na varicoceles husababisha joto lisilofaa kwa uzalishaji wa manii kwa sababu inaathiri pia testis.
Asante kwa kufuatilia somo hili Follow @FJinyami Retweet, like na comment elimu iwafikie wengi
AFYA BORA KWA USTAWI WA JAMII
AFYA BORA KWA USTAWI WA JAMII
جاري تحميل الاقتراحات...